Vifaa Vya Shule Vyang’ata, Washauri Kujiandaa Mapema

Zikiwa zimesalia wiki mbili muhula mpya wa masomo uanze Januari 9, bei ya vifaa muhimu imepanda huku wadau wa elimu wakisisitiza umuhimu wa wazazi kuvinunua kabla mahitaji ya vitu hivyo hayajapanda.

 Vitu vilivyopanda bei katika Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam na maeneo mengine nchini ni mashati, suruali, kaptura, madaftari, masanduku ya nguo, mabegi na viatu.

Wakati vifaa hivyo vikipanda bei, ada katika baadhi ya shule binafsi zimeongezeka mpaka Sh500,000.


Vitu vilivyopanda bei katika Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam na maeneo mengine nchini ni mashati, suruali, kaptura, madaftari, masanduku ya nguo, mabegi na viatu.

Wakati vifaa hivyo vikipanda bei, ada katika baadhi ya shule binafsi zimeongezeka mpaka Sh500,000.


Vitu vilivyopanda bei katika Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam na maeneo mengine nchini ni mashati, suruali, kaptura, madaftari, masanduku ya nguo, mabegi na viatu.

Wakati vifaa hivyo vikipanda bei, ada katika baadhi ya shule binafsi zimeongezeka mpaka Sh500,000.


Vitu vilivyopanda bei katika Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam na maeneo mengine nchini ni mashati, suruali, kaptura, madaftari, masanduku ya nguo, mabegi na viatu.

Wakati vifaa hivyo vikipanda bei, ada katika baadhi ya shule binafsi zimeongezeka mpaka Sh500,000.


Vitu vilivyopanda bei katika Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam na maeneo mengine nchini ni mashati, suruali, kaptura, madaftari, masanduku ya nguo, mabegi na viatu.

Wakati vifaa hivyo vikipanda bei, ada katika baadhi ya shule binafsi zimeongezeka mpaka Sh500,000.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments