Changamoto ya viboko kuvamia makazi ya watoto kituoni hapo imebainishwa katika taarifa ya kituo hicho iliyosomwa na John Paul leo Desemba 24, 2022.
Taarifa hiyo ilieleza kuwa viboko wamekuwa wakitoka ziwani na kuharibu mazao pamoja na kusogea karibu na makazi ya watoto nyakati za usiku, jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa watoto.
0 Comments