Yaliyowasibu Wananchi 2022

Wadau hao wamebainisha hayo juzi kwenye mjadala wa Mwananchi Twitter Space, unaoandaliwa na Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) chini ya mada iliyokuwa ikihoji: “Mwaka 2022 ulikuwaje kwa Watanzania kiuchumi, kisiasa na kijamii?”

Katika mjadala huo, watu mbalimbali waliuchambua mwaka huu kwa matukio yaliyotikisa kiuchumi, kisiasa na kijamii na miongoni mwa mambo ambayo yalizungumziwa ni kupaa kwa bei za vyakula.


Wadau hao wamebainisha hayo juzi kwenye mjadala wa Mwananchi Twitter Space, unaoandaliwa na Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) chini ya mada iliyokuwa ikihoji: “Mwaka 2022 ulikuwaje kwa Watanzania kiuchumi, kisiasa na kijamii?”

Katika mjadala huo, watu mbalimbali waliuchambua mwaka huu kwa matukio yaliyotikisa kiuchumi, kisiasa na kijamii na miongoni mwa mambo ambayo yalizungumziwa ni kupaa kwa bei za vyakula.


Wadau hao wamebainisha hayo juzi kwenye mjadala wa Mwananchi Twitter Space, unaoandaliwa na Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) chini ya mada iliyokuwa ikihoji: “Mwaka 2022 ulikuwaje kwa Watanzania kiuchumi, kisiasa na kijamii?”

Katika mjadala huo, watu mbalimbali waliuchambua mwaka huu kwa matukio yaliyotikisa kiuchumi, kisiasa na kijamii na miongoni mwa mambo ambayo yalizungumziwa ni kupaa kwa bei za vyakula.

 

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments