Kauli hiyo imetolewa leo, Januari 29, 2023 na Kaimu Katibu Mtendaji wa NECTA, Athumani Amasi wakati akitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne kwa wanafunzi wa 2022.
"Ina tija gani kumtaja mmoja kati ya shule nyingi na tena bahati mbaya unamlinganisha mtu na mwingine ambaye hawakusoma kwenye mazingira yanayofanana,” amesema.
0 Comments