Martha Kayaga Aibuka Kinara ,Uchaguzi Wa Marudio UWT Mkoa Wa Singida

Mwenyekiti Wa UWT Mkoa Wa Singida Bi Martha Kayaga Amewashukulu  Wajumbe Wa UWT Mkoa Wa Singida Kwa Kuendelea Kumuamini Na Kumpa Kura Za Kishondo Kwenye Uchaguzi  Wa Marudio Wa Jumuiya Ya Wanawake Mkoa Wa Singida.

Bi Martha  Alex Kayaga Ameyasema Hayo Jana Wakati Wa Uchaguzi Wa Marudio Wa UWT Mkoa Wa Singida Ulifanyika Jana  Katika Ukumbi Wa RC Mission Mkoani Singida  Baada Ya Kuwa Mshindi Katika Uchaguzi Huo.

Aidha Bi Martha Kayaga Amewaomba Wajumbe Wa  UWT Mkoa Wa Singida Kuvunja Makundi Na Kuwa Kitu Kimoja Ilikumsaidia Mwenyekiti Wa CCM  Mkoa Wa Singida Bi Martha Moses Mlata Kuendelea Kutekeleza Ilani Ya Chama Cha Mapinduzi CCM ,Ilikuendeleza Juhudi Zinazofanywa Na Rais Wa Jamuhuri Ya Mungano Wa Tanzani Dr. Samia Suluhu Hassani Katika Taifa Letu Na Jamii Kwa Ujumla.

Kwa Upande Wa Mwenyekitu Wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa Wa Singida Bi Martha Moses  Mlata Amempongeza Bi Martha Kayaga Kwa Kuchaguliwa Tena Kuwa Mwenyekiti Wa Jumuiya Ya Wanawanake (UWT) Mkoa Wa Singida  Pia Mlata Alichukuwa Fulsa hiyo na Kuwapongeza wagombea Wengine Ambao Kura Hazikutosha Katika Uchaguzi Huo.
Na Abdul Bandola Singida
 

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments