Wananchi Na Viongozi Mbali Mbali Watakiwa Kuwa Makini Wakati Wa Kusimami...


 Na Kwa Upande wa Katibu Wa Chama Cha CCM Mkoa Wa Singida Bi Lucy Boniphace Ameeleza Kuwa Ziara Ya Kamati Ya Siasa Mkoa Wa Singida  Itaendelea Katika halmashauli Ya Singida Dc Na Singida Manispa Tarehe 18,02,2023 Ikiwa Ni Muendelezo Wa Ziara Hiyo Ambayo Ilianzia Manyoni,Itigi,Ikungu.Iramba Na Mkalama Na Leo Kuhitimishwa Katika Halmashauli Ya Singida DC Na Singida Manispaa.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments