MLATA ATEMBELEA DIMBA LA LITI

 
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida Martha Mlata atembelea kiwanja cha CCM liti Singida na Kuwashukulu shirikisho la soka Tanzania(TFF) Kwa Kukipendekeza kiwanja hicho kuwa miongoni mwa viwanja vitakavyotumika kwenye michezo Ya Nusu Fainal Kombe la shirikisho la Azam Kwa msimu huu.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments