Akizungumza na waandishi wa habari jana Jumatano Aprili 19, 2023 Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa ACP, Allan Bukumbi amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo usiku wa kuamkia jana.
Bukumbi amesema ajali hiyo ilihusisha gari aina ya Subaru Impreza iliyokuwa ikitokea Kitwiru kuelekea Ipogolo Manispaa ya Iringa iliyogonga pikipiki kisha kuhama njia na kwenda kugonga mti.
0 Comments