WAFANYAKAZI KAMPUNI YA BIA SERENGETI WAFANYA USAFI UFUKWE WA COCO BEACH




 Wafanyakazi wa kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) wakisafisha ufukwe wa coco jijini Dar es Salaam kama sehemu ya lengo kuu la bia ya Rockshore kwenye jamii ambalo ni kuweka fukwe zote safi. Baada ya zoezi la usafi, wafanyakazi wa SBL walijumuika na watu wa eneo hilo kuburudika na Rockshore baridi. Zoezi la usafi lilifanyika mwishoni mwa wiki.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments