NEEME KWAWAFUNGAJI WA NYUKI NDANI NA NJE YA TANZANIA

 Gharama ya Mafunzo itakuwa ni TZS 1'000,000/ ikihusisha chakula milo mitatu kwa Siku 30 , Malazi kwa Siku  30 na Mafunzo na Safari  za kujifunza ndani ya Siku 30. 

Tunahitaji Washiriki 100 tu , ambao ni Wasimamizi wa Mashamba ya nyuki , wanaohitaji kuwekeza,  na wengineo wanaohitaji. 

Wakufunzi watakuwa Saba (7) : Watatu(3) kutoka South Korea, Turkey na Israel  na wanne (4) ni watafiti na wakufunzi  kutoka Kijiji cha nyuki mkoani Singida. 

Mafunzo haya yatafanyika kwa Vitendo Asilimia 75% na Theory Asilimia  25%. Washiriki watapata nafasi nyingi ne ya kujifunza maswala mbalimbali ya nyuki ndani ya Kijiji cha nyuki , Singida. 

Nafasi tano ( 5 ) za kwanza Washiriki watapata nafasi ya kusoma BURE. 

KARIBUNI SAANA , TUMIA MAWASILIANO YALIYOPO KWENYE TANGAZO KUJISAJILI.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments