VANDEBROUK AANZA KAZI WYDAD CASABLANCA

 KLABU ya Wydad Casablanca imemuajiri aliyekuwa kocha wa timu ya Simba Sc 2019-2020 Sven Vandebrouk kufuatia kufukuzwa kwa aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo Juan Carlos Garrido ikiwa ni miezi miwili tu tangu apewe kibarua cha kukinoa kikosi hicho.


Mabingwa hao Lahore wa Morocco imeamua mabadiliko ya benchi la ufundi baada ya kutoridhishwa na matokeo ya timu katika siku za hivi karibuni.

Ikumbukwe Wydad Casablanca imetinga hatua ya nusu fainali Ligi ya Mabingwa barani Afrika (CAF CL) baada ya kuiondoa Simba Sc kwenye hatua hiyo.


TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments