WAANDISHI WA HABARI MKOANI SHINYANGA WATINGA BUNGENI

 

Waandishi wa habari mkoani Shinyanga wamehudhuria kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mwaliko wa Mbunge wa Vitimaalum Salome Makamba.

Wamehudhuria Bungeni leo Mei 22,2023 na kushuhudia usomwaji wa Bajeti ya Wizara ya ujenzi na uchukuzi iliyosomwa na Waziri wa Wizara hiyo Prof Makame Mbarawa.


Aidha,Wabunge wote wa Mkoani Shinyanga wameshilikiana kikamilifu na waandishi wa habari wa Mkoa huo.


TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments