Missanga Amekabidhi Mifuko Ya Saruji Kwa Kamati Ya Utekelezaji Ya Wazazi Wilayani Ikungi Mkoani Singida


Mjumbe Kamati ya Utekelezaji Mkoa wa Singida ambaye pia ni Mratibu wa Jumuiya ya wazazi Wilaya ya Ikungi,Ahmed Missanga (kushoto) amekabidhi mifuko ya saruji kwa Kamati ya Utekelezaji ya Wazazi Wilaya ya Ikungi kwaajili ya ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa Jumuiya ya wazazi wilayani Ikungi.

Mjumbe Kamati ya Utekelezaji Mkoa wa Singida ambaye pia ni Mratibu wa Jumuiya ya wazazi Wilaya ya Ikungi,Ahmed Missanga amesema kuwa vijana wanatakiwa kufanya kazi kwa bidi na kwa weledi ilikuendelea kusapoti juhudi za Viongozi Wetu Kwa Masilahi Mapana ya Jamii Na taifa Kwa Ujumla 

Bw. Missanga Ameyasema Hayo June 25 mwaka huu   Wakati akikabidhi mifuko ya saruji kwa Kamati ya Utekelezaji ya Wazazi Wilayani Ikungi  Mkoani Singida. 

Misanga ameeleza kuwa mifuko hiyo ya saruji  ni kwaajili ya ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa Jumuiya ya wazazi wilayani Ikungu

Aidha Bw. Ahmed Misanga Amesama  Miradi mingi inayoletwa na mama iwechachu kwa vijana kuendelea kupambana na kufanya kazi kwa bidi ilikuendelea kusapoti juhudi za rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hasani katika Jamii Na Taifa kwa ujumla.

 

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments