WAZIRI BASHE AIPA KONGOLE KAMISHENI NA TUME YA USHIRIKA KWA KUTEKELEZA MAELEKEZO YA SERIKALI

 

















  


Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe,akizungumza wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tabora ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kaliua, Dkt. Rashid Chuachua,akielezea mkoa wake unavyoshirikiana na wanaushirika wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme,akizungumza wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo Mhe.Mariam Ditopile,akizungumza wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika nchini, Dkt. Benson Ndiege,akitoa taarifa ya ushirika nchini wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika nchini ambaye pia ni Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela,akielezea mikakati ya Kamisheni ya TCDC katika kuimarisha ushirika wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Moshi (MoCU) Prof.Alfred Sife,akizungumza wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.


Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Mhe.Onesmo Buswelu,akizungumza wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mhe.Kemirembe Lwota,akizungumza wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.

Katibu Mtendaji wa Shirika la Vyama vya Ushirika (TFC) Bw.Alex Ndikilo,akizungumza wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora na Mjumbe wa Kamati Kuu Ndg Hassan Makasuvi,akizungumza wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania, (TFC) Charles Jishuli,akizungumza wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.

    

Sehemu ya washiriki wakifatilia hotuba ya Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (hayupo pichani) ,akizungumza wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
 

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe,akizindua mfumo wa MUVU wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
                     
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe,akikabidhi Tuzo kwa washindi mbalimbali wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
   

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments