Recent-Post

Mbunge Ole Shangai aachiwa kwa dhamana

Akizungumza baada ya kuachiwa Ole Shangai amesema kwa siku tatu tangu alipokamatwa aligoma kula na baada ya kujisalimisha Karatu alisafirishwa saa saba usiku Agosti 22 kurudishwa Arusha na alikuwa Kituo cha Diplomasia jijini Arusha.

Mbunge huyo alijisalimisha polisi kwa kile kinachodaiwa kuwa kuhusika na tukio la kushambuliwa waandishi wa habari lililotokea Agosti 15, 2023.


Waandishi hao walishambuliwa na wananchi kwenye mkutano uliofanyika eneo la Enduleni wilayani Ngorongoro.


Waan

Post a Comment

0 Comments