Baleke apiga tatu

MSHAMBUIAJI wa Simba SC, Jean Baleke amekuwa mchezaji wa pili Ligi Kuu, kufunga mabao matatu ‘hat-trick’ katika msimu mpya wa ligi hiyo.

Baleke amefanya hivyo katika mchezo unaoendelea muda huu ambapo Simba inaongoza mabao 3-0 dhidi ya Coast Union.

Mchezaji wa kwanza kufanya alikuwa Feisal Salum wa Azam FC aliyefunga mabao matatu katika mchezo dhidi ya Kitayose FC.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments