Inonga anaendelea vizuri

 

TAARIFA iliyotolewa na AZAM TV ni kuwa beki wa Simba SC, Henock Inonga anaendelea vizuri.

Inonga ameumia katika mchezo wa leo dhidi ya Coastal Union baada ya kufanyiwa madhambi na Haji Ugano dakika ya 19 hali iliyopelekea kutolewa nje kwa kadi nyekundu.

Baada ya kufanyiwa madhambi, Inonga aliwahishwa Hospitali ya Wilaya ya Temeke kwa matibabu.

Nafasi ya Inonga ilikuchuliwa na Kennedy Juma.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments