WAZIRI KAIRUKI AMPOKEA RAIS WA SENEGAL

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki amempokea Rais wa Sénégal, Mhe. Macky Sall  katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam ambaye amewasili nchini kuhudhuria Mkutano wa Mifumo ya Chakula barani Afrika ambao umeanza nchini kuanzia tarehe 5-8 Septemba 2023.




TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments