Kamwe apigwa faini Sh milioni 1

OFISA Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ali Kamwe amepigwa faini ya Sh milioni 1 na Bodi ya Ligi kwa kosa la kumkejeli mwamuzi Tatu Malogo kupitia mitandao ya kijamii.

Imeelezwa Kamwe alichapisha picha ya mwamuzi huyo katika ukurasa wake wa Instagram akiunganisha na wimbo wa Billnas uitwao ‘Maokoto.

Kitendo hicho kimetafsiriwa kumhusisha mwamuzi huyo na masuala ya rushwa.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments