Kinda Barca afunga akiwa na miaka 17

 

KINDA wa FC Barcelona, Marc Guiu ameweka rekodi ya kuwa mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kufunga bao kwenye mchezo wake wa kwanza wa La Liga akiwa na timu hiyo.

Ameweka rekodi hiyo baada ya kufunga bao kwenye mchezo dhidi ya Athletic Bulbao. Guiu alifunga bao dakika ya 80 ya mchezo, amefunga akiwa na umri wa miaka 17 na siku 291.

 Bao hilo la pekee lililoifanya Barcelona iibuke na ushindi wa bao 1-0 imeifanya timu hiyo kuweka rekodi ya kuwa imechecheza michezo 8 mfululizo bila ya kufungwa dhidi ya Bilbao.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments