Rais Samia akutana na Rais wa CAF

RAIS wa Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Patrice Motsepe mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 20 Oktoba.

Motsepe yuko nchini kushuhudia mchezo wa African Football League kati ya Simba SC dhidi ya Al-Ahly uwanja wa Mkapa.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments