Simba wawasili Tanzania

 


KIKOSI cha Simba SC kimewasili nchini kikitokea Misri ambako kilienda kwa ajili ya mchezo wa raundi ya pili wa African Super League dhidi ya Al-Ahly uliopiga jana Cairo na kuisha kwa sare ya bao 1-1.

Matokeo hayo hayakuwa na faida kwa timu hiyo kutokana na kuruhusu mabao mawili uwanja wa Mkapa katika mchezo ulioisha sare ya mabao 2-2 wiki moja iliyopita na hivyo Simba kuondolewa kwa kanuni.

Simba itaingia kambini kujiandaa na michezo ya Ligi Kuu na ile ya Ligi ya Mabingwa itakayoanza mwezi Novemba.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments