Tanzania mwenyeji mkutano wa kupinga ukeketaji

DAR ES SALAAM: TANZANIA ni mwenyeji wa Mkutano wa pili wa Kimataifa wa Kutokomeza Ukeketaji ulio chini ya Nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU).
Mkutano huu unafanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere, Dar es Salaam kuanzia leo Oktoba 09 hadi Oktoba 11, 2023
Zaidi ya washiriki 900 wanahudhuria Mkutano huu, kati yao 200 ni washiriki wa ndani na 700 ni kutoka Mataifa mengine.
Kauli mbiu ya Mkutano huu “Mabadiliko katika kizazi kimoja kwenda kingine ni muhimu katika kutokomeza vitendo vya Ukeketaji”

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments