Yanga, Azam sasa kwa Mkapa

MCHEZO wa Yanga SC dhidi ya Azam FC ambao utachezwa Jumatatu Oktoba 23, 2023 sasa rasmi utapigwa uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam.

Awali mchezo huo ulipangwa kuchezwa Jumapili uwanja wa Azam Complex, kabla ya kutangazwa mabadiliko hayo, ambapo taarifa ya Yanga imeeleza mchezo huo umehamishiwa uwanjani hapo

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments