Benchika kazi kwako sasa

 

MIONGONI* mwa silaha alizopewa kocha mpya wa Simba SC, Abdelhak Benchika ni kufanya kazi kwa uhuru bila kupangiwa maamuzi yoyote katika nafasi yake.

Ofisa Mtendaji Mkuu, Iman Kajula amesema Bodi ya Simba na Menejimenti imeamua kufanya hivyo kwa kuzingatia ukubwa wa timu hiyo Afrika.

“Sisi ni moja ya klabu bora Afrika hatuwezi kufanya kazi kwa kumbana.” Imani Kajula.

Kajula amesema kocha huyo amesaini mkataba wa miaka miwili.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments