Ummy: Marufuku wajawazito kuambatana na wenza kliniki

TANGA; Muheza. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, amepiga marufuku wauguzi wa afya kuwataka wajawazito kwenda na wenzao wao kliniki kwa ajili ya kupata huduma za afya

Kauli hiyo ameitoa leo Novemba 30, 2023, wakati wa maadhimisho ya siku 16 za kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia lviwanja vya Jitegemee wilayani Muheza.

Amesema kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wajawazito kutakiwa kwenda na wenzao wao cliniki ndio watapewa huduma.

“Napiga marufuku wajawazito kuambatana na wenza wao kliniki, bali wapeni elimu juu ya umuhimu wa kujua afya ya mwenza wake na sio kumshinikiza, kwani huo ni sehemu ya ukatili, “amesema Waziri Ummy.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments