Yanga kuendeleza ubabe?

ALGERIA: Kikosi cha Yanga leo kinatupa karata yake ya kwanza kwenye hatua ya makundi Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika watakapokuwa wageni wa Cr Belouizdad ya Algeria katika mchezo wa kundi D, utakaopigwa Uwanja wa 5 July 1962 nchini Algeria kuanzia saa nne usiku.
Yanga wanaingia kwenye dimba hilo wakiwa na kumbukumbu nzuri ya kushinda mchezo wa mwisho waliocheza katika uwanja huo dhidi ya USM Alger katika fainali ya kombe la shirikisho msimu uliopita walipoibuka na ushindi wa 1-0 licha ya kwamba hawakutwaa ubingwa wa michuano hiyo.
Mchezo mwingine utakaopigwa leo Pyramid ya Misri itawavaa Tp Mazembe ya DR Congo.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments