UMRI SAHIHI NDIO UTAKUWA MUENDELEZO MZURI KATIKA MAFANIKIO YETU YA SOKA

                                                                    
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia akizungumzia uwepo wa Kocha kutoka FIFA aliyeletwa na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Mpira FIFA, Arsene Wenger

 Wallece Karia ameyasema hayo leo  tarehe 16/12/2023 wakati akiongoza Mkutano Mkuu wa 18 wa TFF unaofanyika mkoani  Iringa    nchini Tanzania .
 
Na hizi ni picha mbali mbali za Wajumbe wa Mkutano Mkuu TFF na waalikwa mbalimbali wakifuatilia Mkutano Mkuu wa 18 wa TFF











TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments