Yanga, Al-Ahly ngoma ngumu

MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa kati ya Yanga SC na Al-Ahly umemalizika Uwanja wa Mkapa kwa sare ya bao 1-1.

Bao Al-Ahly limefungwa na Percy Tau na Yanga limefungwa na Pacome Zouzoua.

Mpaka mapumziko, mchezo huo ulikuwa sare ya bila kufungana.

Kwa matokeo hayo Yanga ina pointi 1, Al-Ahly ina pointi 4 katika kundi D

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments