Bado pointi tano Simba iikute Yanga

 

BAADA ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mashujaa FC, Simba imeendelea kuisogelea Yanga kwa kubakisha pointi tano kufikia.

Bao pekee lililofungwa na Saido Ntibazonkiza kwa penalti limeifanya Simba kuwa na pointi 26 huku mpinzani wake Yanga akiwa na pointi 31.

Yanga ipo mbele kwa mchezo mmoja dhidi ya Simba endapo itashinda itafikisha pointi 29.

Azam FC inaongoza Ligi ikiwa na pointi 31 sawa na Yanga tofauti ikiwa ni magoli a kufunga na kufungwa.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments