BAKWATA MKOANI SINGIDA YAIPONGEZA TAASISI YA RAMADHAN CHARITY PROGAMME 2024

 

Baraza kuu la waisilamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Singida limemtunuku cheti cha pongezi Bw. Taasisi ya Ramadhan Charity Program 2024 kwa Kuendelea Kutoa Mchango wake kwa Watu wenye uhitaji Katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

Pongezi hizo zimetolewa na BAKWATA Mkoa wa Singida kwa Taasisi ya Ramadhan Charity program 2024 kupitia Mwenyekiti Ahmed Misanga wakati wa tamasha la Stara lililofanyika mkoani humo hivi karibuni baada ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Taasisi ya Ramadhan Charity program 2024 iliweza kufuturisha mikoa 5 ya Tanzania na kuwafikia wahitaji wapatao 1500.




TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments