KINANA AWASILI MARA, KUANZA ZIARA YA KUIMARISHA CHAMA.

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana, amewasili mkoani Mara kwa ziara ya kuimarisha Chama.


Kinana amepokelewa leo April 13, 2024 katika Kijiji cha Ikoma, Wilaya ya Serengeti mkoani Mara ambapo mapokezi hayo yaliongozwa na Kaimu Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa huo, Christopher Gachuma.

Akizungumza katika mapokezi hayo Kinana amewashukiru wana CCM na wananchi kwa ujumla kwa kuendelea kukiunga mkongo Chama na serikali.

Kwa upande wake Gachuma alimpongeza na kumkaribisha Kinana mkoani humo.







TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments