TOKENI OFFISINI NENDENI KWA WANANCHI

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Taifa ALLY HAPI amewataka Viongozi Chama cha Mapinduzi CCM na Jumiya zake kujipanga na kuweka mikakati ya kuhakikisha wanaimarisha Chama ili kushinda ngazi zote za Uongozi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika mwaka huu na uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
                        

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments