WAZIRI WA FEDHA DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA ECOBANK TANZANIA

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank Tanzania, Bw. Charles Asiedu alipowasili katika kikao kilichoangazia ushirikiano kati ya Serikali na benki hiyo, jijini Dodoma.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank Tanzania, Bw. Charles Asiedu, kuhusu ushirikiano kati ya Serikali na benki hiyo, alipomtembelea katika ofisi za Wizara ya Fedha, jijini Dodoma.
Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank Tanzania, Bw. Charles Asiedu, akimuelezea Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (hayupo pichani), mafanikio ya benki hiyo wakati alipomtembelea ofisini kwake jijini Dodoma.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza na ujumbe wa Ecobank Tanzania ulioongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Benki hiyo, Bw. Charles Asiedu, jijini Dodoma.
Kamishna Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Sekta ya Fedha, Bi. Dionesia Mjema, akifafanua jambo wakati wa kikao cha Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), na ujumbe kutoka Ecobank Tanzania, jijini Dodoma.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiuongoza ujumbe wa Wizara hiyo katika picha ya pamoja na ujumbe wa Ecobank Tanzania ulioongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa benki hiyo, Bw. Charles Asiedu, baada ya kikao kilichoangazia ushirikiano kati ya Serikali na benki hiyo, jijini Dodoma.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments