BALOZI NCHIMBI AWASILI MZUMBE MOROGORO



Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Emmanuel Nchimbi akipokelewa na Rais wa Baraza la Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, CPA Ludovick Utouh na Makamu Mkuu wa Chuo, Profe. William Mwegoha, alipowasili chuoni hapo akiwa Mgeni Rasmi wa Mkutano wa Mwaka wa Baraza la Wahitimu wa Chuo Kikuu Mzumbe, leo tarehe 23 Novemba 2024.






TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments