MATUKIO KATIKA PICHA NAIBU KATIBU MKUU ZUHURA YUNUS ATEMBELEA MABANDA YA WAJASIRIAMALI SUDAN KUSINI

 

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Zuhura Yunus akitembelea mabanda ya wajasiriamali wa Tanzania katika Maonesho ya 24 ya Wajasiriamali Wadogo na wa Kati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki maarufu Nguvu Kazi au Jua Kali yanayofanyika jijini Juba nchini Sudan Kusini leo Novemba 2, 2024. 
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Zuhura Yunus akizungumza na baadhi ya Watendaji wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) alipotembelea banda la Mfuko huo katika Maonesho ya 24 ya Wajasiriamali Wadogo na wa Kati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki maarufu Nguvu Kazi au Jua Kali yanayofanyika jijini Juba nchini Sudan Kusini leo Novemba 2, 2024. 

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Zuhura Yunus akizungumza na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Wajasiriamali Wadogo na wa Kati (CISO Tanzania), Josephat Rweyemamu walipokutana katika Maonesho ya 24 ya Wajasiriamali Wadogo na wa Kati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki maarufu Nguvu Kazi au Jua Kali yanayofanyika jijini Juba, Sudan Kusini.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments