WACHEZAJI WA DODOMA JIJI WAPATA AJALI, BASI LAO LATUMBUKIA MTONI

Picha:Mtandao

Basi la timu ya Dodoma Jiji FC limepata ajali leo asubuhi maeneo ya Nangurukuru kuelekea Somanga mkoani Lindi likitokea mjini Ruangwa ambako jana walicheza mechi ya ya Ligi Kuu NBC dhidi ya Namungo FC.

Inaelezwa kuwa basi hilo lilipinduka mara mbili. 
Taarifa zinadai wachezaji wengi wamepata majeraha na hakuna kifo kilichoripotiwa

Katibu Mkuu wa Timu hiyo, fortunatus Johnson amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments