MATOKEA YA LIGI YA WANAWAKE MKOA WA SINGIDA

 ligi ya Wanawake mkoa wa Singida Imepamba moto huku vipaji mbali mbali vikiendelea kuonekana katika Dimba la Liti (Namfua)

Ligi hiyo imeendelea wikiend hii kwa Kucheza mechi nne na haya ni matokea ya michezo yote ilioyo chezwa wikiend hii katika Dimba La Liti  (Namfua ) mkoani Singida

MATOKEA TAREHE 13 FEBRUARY 2021

     SINGIDA WARRIORS 7-0 KIMPUNGUA

        MUNGUMAJI 2-0 MTAMAA

MATOKEA TAREHE 14 FEBRUARY 2021

         

             SENGE  4-0 MITUNDURUNI

             KINDAI 2-0 IPEMBE

Mwenyekiti wa cha cha mpira Mkoa wa Singida Bw. Hamisi Kitila ameendelea kuwaomba wadau mbali mbali kujikea viwanjani ilkuendelea kusapoti timu zanashiriki mashindano hayo 

aidha BwKitila ushirikiano chama cha mpira na serikali ya mkoa wa Singida ni mkubwa sana na ndio ulisaidia kuendesha mashindano mbali mbali mkoa wa Singida. 

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments