VIJANA WAMETAKIWA KUWA NA MATUMIZI MAZURI YA MUDA KWA MASILAHI YA TAIAFA NA JAMII KWA UJUMLA


 Vijana wametakiwa kutumia muda vizuri katika majukumu yao ya kila siku  kwani wao ndio nguzu na uti wa mgongo wa taifa na jamii kwa ujumla

Kauli hiyo imeelezwa na aliekuwa mgombea wa viti maalumu mkoa wa Singida kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Bi.Warda Nkhangaa wakati akizumza na bandolatz.com leo kwa njia ya simu

Aidha Bi.Warida amesema vijana tunapaswa kuchangamkia fulsa zilizopo ilikuendana na kasi ya serikali na kusaidia kukua kwa uchumii katika taifa na jamii zetu.

Pia Bi.Warda ameeleza kuwa tunapaswa kulinda na kufata misingi mizuri ya utawala bora iliyo achwa na viongozi mbali mbali walio tangulia mbele ya haki.  

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments