Naibu Katibu Mkuu CCM (Bara) Akihutubia Mkutano Wa Shina, Kitangali Newala


Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Mhe.Christina Mndeme akihutubia wakazi wa shina na 3,Newala mkoani Mtwara ikiwa siku ya kwanza ya ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo pamoja na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ikiwa na lengo la kukagua,kusimamia na kuhimiza utekelezaji wa utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2020 - 2025. (Picha na Adam Mzee / CCM Makao Makuu).

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments