SINGIDA CLUSTER V/S MISUNA WARRIORS KUFUNGUA PAZIA LA NNE BORA MKOANI SINGIDA 29 SEPTEMBER2021 KATIKA DIMBA LITI ZAMANI NAMFUA


Kumbuka kutembelea mitandao yetu ya Kijamii bila kusaha kusikiliza vyomba mbali mbali vya radio katika vipindi vya michezo ilikupata ratiba ya kila siku ya mchezo;

Wadau mnaombwa kuzisaidia timu hizo ilikuwa na ligi yenyeushindani na mwisho tupate bingwa mwenye uwezo wa kuwa bingwa wa Kanda hatimaye tupate timu ya Ligi daraja la Pili Kutokea ligi ya Msimu wa 2021/2022.

           Na bandolalamedia.co.tz 

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments