Akizungumza wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani amesema pamoja na mwitikio mkubwa wa wananchi kupata chanjo lakini madiwani wanapaswa kuwa chachu ya kuendelea kuhamasisha wananchi.
Halmashauari hiyo imeelezwa kufajnya vizuri kwenye suala la uhamasishaji wa chanjo ya Uvico-19 na kuhamasisha katika maeneo ya mikusanyiko.
Nae Diwani wa kata ya Luaga, Rehema Liute amesema wananchi wamekuwa wakipewa elimu ya umuhimu wa chanjo.
0 Comments