VIJANA WAMETAKIWA KUCHANGAMKIA FULSA NA KUFANYA KAZI KWA BIDII MKOANI SINGIDA

Mwenyekiti wa Umoja Wa Vijana Mkoani Singida (UVVCCM) Dr.Denis Nyeraha amewataka vijana kuendelea kuwa na Umoja na kuchangamkia fulsa kwa kufanya kazi kwa bidii na kujali masilahi ya jamii na taifa kwa ujumla.

Dr.Denis Nyeraha amesama haya wakati akiongea na Bandolatz.com $Bandola tv leo  Mkoani Singda wakati Umoja wa Vijana mkoani Humo wakiendelea kufanya  shughuli mbali mbali za kijamii wakati wa kuadhimisha miaka 44 ya chama cha mapinduzi (CCM)

Aidha Dr.Nyeraha ameseama kuwa   kurinda na kutunza amani kwa njia yoyote ni jukumu la vijana kwani vijana ndio uti wa mgogo wa jamii na taifa kwa ujumla

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments