Song atundika daluga

 

KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Alexander Song amestaafu kucheza soka.

Song ,36, raia wa Cameroon alianza kucheza soka akiwa Bastia ya Ufaransa, kabla ya 2006 kwenda Arsenal kwa mkopo na baadaye kusajiliwa moja kwa moja.

Mwaka 2012 alijiunga na Barcelona, baada ya misimu miwili, Song alirejea England kunako West Ham United, baada ya msimu mmoja alijiunga na Rubin Kazan ya Urusi.

Mpaka anastaafu, Song alikuwa akikipiga AS Arta/Solar7 ya nchini Djibouti.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments